griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 440
Wasalaamu,
Kama kichwa cha bandiko langu kinavyojieleza, natafuta dawa ya hydroxyurea, kwa ajili ya complications za ugonjwa huu.
Nipo MBEYA, nimejaribu tafuta kwa pharmacy zote hapa jijini hadi tunduma nimekosa!
Naombeni msaada tafadhali.
Kama kichwa cha bandiko langu kinavyojieleza, natafuta dawa ya hydroxyurea, kwa ajili ya complications za ugonjwa huu.
Nipo MBEYA, nimejaribu tafuta kwa pharmacy zote hapa jijini hadi tunduma nimekosa!
Naombeni msaada tafadhali.