Natafuta cheap massage parlow

Waxing...wanawafanyia na wanaume pia?...Nipe contact zao nipite mda huu..make nipo mjini.
Ni saloon ya kike mkuu... ila mwanaume jmn unataka waxing!! Nunua mashine ya ndevu uwe unatumia na huko chini loooh
 
Dah..... massage ndiyo kitu gani wakuu?


Sent from my Osborne II using JamiiForums Mobile App
 
Kuna place upanga saloon ya muhindi flani ivii.. very cheap and affordable ata waxing wanafanya cheap mno. Nilivyo mbovu wa kutoa direction naweza nikakupm namba za mdada wa hapo saloon kama utakua interested
Naomba uni pm na mimi kama hutojali tfadhali
 
Massage unataka kufanywa na dume au dem?

Ova
 
Umejaliwa curves akataye kufanyia massage ata enjoy sana

Ova
 
Hahahahah wazee wa kucheza na fursa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…