Nina dada yangu yeye ni Quantity surveyor alimaliza chuo mwaka 2010 (uclas/ardhi univ)na upper second kali, ana uzoefu wa miaka 5 kwenye kampuni ya ukandaras ya wachina na ndipo anafanya kaz na kishafanya project za kutosha na hiyo kampuni. ukimhitaji mcheki na hii namba 0763829874. Nakuhakikishia hutojutia uamuz wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.