Natafuta Architect kwa hapa Dar

Natafuta Architect kwa hapa Dar

gayo

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
238
Reaction score
93
Natafuta architect mzuri ambaye anaexperience nzuri kwa maeneo ya hapa Dar Es Salaam.

Tuwasiliane kwa kuweka namba yako hapa au uni PM ili tuweze kupeana maelekezo mengine.

Natanguliza shukrani za dhati..
 
Sasa si useme unamtaka wa kazi gani? Mtu ajue kwanza isije ikawa unataka kuwahesabu tu . . . .
 
Hahahah... Jf inaburudisha. Namhitaji kwenye suala la Ujenzi mkuu
 
0712 006246 pia karibu ofisini kwangu.....au unaweza tembelea ukurasa wetu wa facebook kujionea baadhi ya nyumba tulizodesign...karibu.
 
0712 006246 pia karibu ofisini kwangu.....au unaweza tembelea ukurasa wetu wa facebook kujionea baadhi ya nyumba tulizodesign...karibu.

sasa ukurasa wenu wa facebook uko wapi?
 
we are ready to go...
we can help with your next project:contact 0654003555 Doltu architect
Email:doltuarch@gmail.com
facebook page Doltu Architects
 
Mkuu kampuni yetu inao mafundi aina zote wa kazi za ujenzi. Umeme .mitambo n.k na bei ni nafuu na huduma ya kiwango cha juu tuwasiliane 0657145555
 
Nina dada yangu yeye ni Quantity surveyor alimaliza chuo mwaka 2010 (uclas/ardhi univ)na upper second kali, ana uzoefu wa miaka 5 kwenye kampuni ya ukandaras ya wachina na ndipo anafanya kaz na kishafanya project za kutosha na hiyo kampuni. ukimhitaji mcheki na hii namba 0763829874. Nakuhakikishia hutojutia uamuz wako.
 
Back
Top Bottom