johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,124
- 142,214
Hata mzee Lowassa mlisema hivyo hivyo......... baadae mkabadili gia angani!CDM does not need men of that caliber!
Hata chausta hatumtaki
Yaelekea wewe huwa husomi vitu vya sasa. Chama chrtu pendwa kimepitisha sheria MTU kuhamia Chama ruksa lkn kugombea ni lazima uwe mwanachama wa Chama husika kwa zaidi ya miaka 2. Hapo. Waliwakomoa wenzao kumbe wanajikomoa. Wapatapata tabu sanaKatika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
2020 wagombea wa CCM wengi watakaokatwa mikia watapenda kupitia daraja la Chadema kuingia bungeni kama ilivyokuwa 2015 na baadae wataunga mkono juhudi kama ilivyofanyika 2018.
Endapo mh Ndugai atajiunga na Chadema ili kugombea nafasi kubwa zaidi sipati picha jinsi makamanda watakavyowageuka CAG na Masele plus yule Nassari na kummwagia misifa lukuki spika mstaafu wakati huo.
Natafakari tu
Maendeleo hayana chama!
Umesahau kumalizia kua ccm ni mama wa ANC Afrika KusiniKatika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
2020 wagombea wa CCM wengi watakaokatwa mikia watapenda kupitia daraja la Chadema kuingia bungeni kama ilivyokuwa 2015 na baadae wataunga mkono juhudi kama ilivyofanyika 2018.
Endapo mh Ndugai atajiunga na Chadema ili kugombea nafasi kubwa zaidi sipati picha jinsi makamanda watakavyowageuka CAG na Masele plus yule Nassari na kummwagia misifa lukuki spika mstaafu wakati huo.
Natafakari tu
Maendeleo hayana chama!
Alafu CCM mlisema kua ni mgonjwa na atakufa muda wowote na kua ni fisadi mwizi...mpaka leo yupo CHADEMA.Hata mzee Lowassa mlisema hivyo hivyo......... baadae mkabadili gia angani!
Itakuwa ni shangwe na vigelegele. Makamanda watakwenda mbali zaidi na kusema sasa wamelipata jembe.Katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
2020 wagombea wa CCM wengi watakaokatwa mikia watapenda kupitia daraja la Chadema kuingia bungeni kama ilivyokuwa 2015 na baadae wataunga mkono juhudi kama ilivyofanyika 2018.
Endapo mh Ndugai atajiunga na Chadema ili kugombea nafasi kubwa zaidi sipati picha jinsi makamanda watakavyowageuka CAG na Masele plus yule Nassari na kummwagia misifa lukuki spika mstaafu wakati huo.
Natafakari tu
Maendeleo hayana chama!
Wallah 2020 hatuchukui mabaki ya CCM. Wakikatwa wabaki huko huko wakilia na kusaga meno.Chadema does not need men of that caliber!
Hahahaa.....!Ninatafakari inauguration ya Membe itakavyokuwa.
Hahahaa....... Hilo halina ubishi hata Putin wa Russia tulikuwa naye pale Kaole Bagamoyo!Umesahau kumalizia kua ccm ni mama wa ANC Afrika Kusini