Kwa maono yangu, maana nishawah pitia huko ni kwamba dawa zinaweza zikawa zinafanya kazi ila mademu woote ulioruka nao ndani ya siku zote hzo ulizokuwa na Hilo tatizo nao wanalo, tofauti inakujaga ni kwamba Kwa madem asilimia nying hawaonyeshag dalili kwahyo anaweza kukaa nao mpaka mwaka asione chochote, (inakuja kuwa PID mbelen na itamletea shida zaidi)
Sasa wewe mdau ukishajitibu ukaenda kuruka na yoyote yule kwenye hyo cycle mzigo unarudi upyaaa,
Mi nilihangaika miezi kibao nikagundua hyo ishu ikabidi niwatibu wote for good sikuwaambia direct ni ishu gani lakin ujanja ujanja ikafanya kazi, ujinga wa hili ni kwamba kama na wao waliruka na washkaj wengin wakaja tena kurudiana Kisha ww ukawepo middle cycle haiishi,
Maana Kuna mmoja nilmwambia atumie dawa naona akapuuzia juzi juzi tu nikaonana nae baada ya miezi kama 8 fasta tu mzigo ukarudi wakati nilishasahau haya mambo,
Solution ni wakati unajitibu potezea hao wadada wengine kabisaa au ukiweza watibu wote.