Nashauri, Tar 20 April, Simba SC, asiingize timu uwanjani, kutakuwa na udhalilishaji


Sawa, ndani ya miezi miwili.
 
Kwa hiyo mnataka Mo auze hisa zake kwa lazima? Katiba ya Simba inasemaje kuhusu idadi ya wawekezaji
 
Sawa, ndani ya miezi miwili.
Natamani aje mtu anayesema Mo aondoke halafu atuambie wanasimba alternative plan inayoonekana itawork. Wewe umekuja na bahati nasibu. Mambo ya aondoke tuone. Empty words, kamari ambayo inaweza kweli ikawork ila isipowork ni anguko kubwa.
 
JF THE HOME OF GREAT THIKER.

Mtu amekaa kabisa na kutulia anakuja kuandika Pumba kama hivi????

LONG LIFE JAMII FORUM.
 
Natamani aje mtu anayesema Mo aondoke halafu atuambie wanasimba alternative plan inayoonekana itawork. Wewe umekuja na bahati nasibu. Mambo ya aondoke tuone. Empty words, kamari ambayo inaweza kweli ikawork ila isipowork ni anguko kubwa.

Abdel maleek ibnu Saad wa
 
Abdel maleek ibnu Saad wa
Ok, Hivi thamani moja hisa za Simba ni kiasi gani? Tujue Mo anadai fedha kiasi gani kwanza maana shida itaanzia hapo. Kiasi gani Mo alipwe.

Halafu huyu mtu natafuta profile yake siioni, unaweza tuwekea hapa. Maana ninayempata ni Sultan wa miaka hiyo ya Morroco
 

Sawa naileta ni TAJIRI MKUBWA ANAUZA MAFUTA ITALY AND FRANCE , yupo kwenye oil and food supply chain

Aliitaka Raja Casablancais wakambania kama unavoona katumbi alivosumbuliwa CONGO just for political
Issues
 
Reactions: Tsh
Wajiandae na 7G,na sio ile ya mashujaa goli moja na penati zake,ila ni 7G za uhakika na bila mawimbi wala mawingu pia bila mahitaji ya msaada wa VAR😝
 
Wasipo sikiza ushauri wako,itakuwa ni mwana kulitafuta mwanakulipata😁
 
Matokeo ya Yanga na Al Ahly 1-1 Dar es Salaam 1-0 Cairo au unazungumzia Al Ahly ipi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…