Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Hii movie ni bora kwako wewe kutokana na mtazamo wako.Hii movie naweza irudia hata mara mbili ingawa unatakiwa uangalie the begining ndo uelewe final part
Yaan iko hivi jamaa anaitwa himura ni bwana mdogo tu lakini mwenye skills za juu kwenye samurai utumiaji wa panga na mapigano ya mkono
alichukuliwa na bwana kyasatu ili awe mmoja wa vijana wake na ndo ukawa mwanzo wa kuua wenyewe wanamwita batosai sasa alipewa mission ya kwenda kumuuwa bwana mmoja na kikosi chake jamaa akafyeka wote yaani akuachi upumue
Siku moja kwenye makazi anayoish huyu bwan na camp yake anaingia binti tomoe kupata huduma ya chakula baadae binti huyu akawa mfanyakazi wa hapo maaana kuna mgawa humohumo ndani lakini badae anakuja gundua binti ni spy na pia amekuja kwaajili kisasi cha aliyekuwa mme wake mtarajiwa alafu binti mwenyewe akampenda kweli mwmaba
Nakubaliana na wewe ndugu yangu. Too much visual effects zinaharibu ladha ya movie.
Hii movie ni bora kwako wewe kutokana na mtazamo wako.Hii movie naweza irudia hata mara mbili ingawa unatakiwa uangalie the begining ndo uelewe final part
Yaan iko hivi jamaa anaitwa himura ni bwana mdogo tu lakini mwenye skills za juu kwenye samurai utumiaji wa panga na mapigano ya mkono
alichukuliwa na bwana kyasatu ili awe mmoja wa vijana wake na ndo ukawa mwanzo wa kuua wenyewe wanamwita batosai sasa alipewa mission ya kwenda kumuuwa bwana mmoja na kikosi chake jamaa akafyeka wote yaani akuachi upumue
Siku moja kwenye makazi anayoish huyu bwan na camp yake anaingia binti tomoe kupata huduma ya chakula baadae binti huyu akawa mfanyakazi wa hapo maaana kuna mgawa humohumo ndani lakini badae anakuja gundua binti ni spy na pia amekuja kwaajili kisasi cha aliyekuwa mme wake mtarajiwa alafu binti mwenyewe akampenda kweli mwmaba
F9 the fast saga ni movie iliyojaa uongo kupitiliza. Eti gari ipo mtaa wa pili kisha inavutwa na sumaku inabomoa majengo na kunasa kwenye hiyo gari yenye sumaku. 😂😂😂Ludacris na Roman wanaenda kuharibu satelaiti. Angalia walivyoenda na kurudi duniani. Utacheka
Unaangalia movie mpaka unasikitika.
acha kabisa jamaa yuko serious yule hatariHii movie ni kali sana sana yanii unapigwa mkono humo balaaa
kwa upande Wako ndo mtazamo wako ulivyo mzeewale jamaa wanakimbia na kupigana kama game za kijapan like naruto,baku gan na dragon ballz. Muvi ya kawaida tu tena inazingua mtu anakatwa panga hatuoni hata damu zikiruka!!!
walau gunpowder milkshake iko vizuri mzeeKuna movie ukidownload unajuta kupoteza bando lako
Walikuwa wanaisifia Gunpowder milkshake, nilijuta kuipakua.
Napenda movie kama za IP Man au undisputed (boyka).
Nilikuwa na hamu ya kuona Fast & Furious 9 nione John Cena na Card B wanafanya nini mule. Ile Movie najuta kuipakua.
Unaangalia movie kama movie ya Mr. Bean yaani uongo mwingi mpaka unaboa.
Aise nilikuwa nacheka peke yangu utafikiri naangalia kichekesho, gari inapita kwenye kamba halafu gari inaharibika na hakuna aliyeumia.
Fast & furious 9 wameharibu sana.
Buddah mkono gani unaopigwa umo kama sio uongo tu wanarukatuka kama gameHii movie ni kali sana sana yanii unapigwa mkono humo balaaa
Umeziangalia hizi movie zote?.Maana ziko 5 nafikiri.Hii movie naweza irudia hata mara mbili ingawa unatakiwa uangalie the begining ndo uelewe final part
Yaan iko hivi jamaa anaitwa himura ni bwana mdogo tu lakini mwenye skills za juu kwenye samurai utumiaji wa panga na mapigano ya mkono
alichukuliwa na bwana kyasatu ili awe mmoja wa vijana wake na ndo ukawa mwanzo wa kuua wenyewe wanamwita batosai sasa alipewa mission ya kwenda kumuuwa bwana mmoja na kikosi chake jamaa akafyeka wote yaani akuachi upumue
Siku moja kwenye makazi anayoish huyu bwan na camp yake anaingia binti tomoe kupata huduma ya chakula baadae binti huyu akawa mfanyakazi wa hapo maaana kuna mgawa humohumo ndani lakini badae anakuja gundua binti ni spy na pia amekuja kwaajili kisasi cha aliyekuwa mme wake mtarajiwa alafu binti mwenyewe akampenda kweli mwmaba
Unataka movie gani,vinginevyo kaangalie maigizo au nenda kaangalie bongo movie.Hizo ni movie tu dont take it serious.Wenzetu walishatoka kwenye dunia yakucomplicate mambo.Hamna movie humo...
Kuna mahala anapigana na watu takribani 50, asa movie gani hiyo.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Wenzako wanatengeneza pesa wewe baki na mawazo yako magumu yakiafrika yasiyo na maana yoyote ulimwengu huu.nlivoona uzi wako nkatoka speed ku download hizo mbili
kusema ukweli amna kitu humo
Wewe uliyeiona umetengeneza hela ganiWenzako wanatengeneza pesa wewe baki na mawazo yako magumu yakiafrika yasiyo na maana yoyote ulimwengu huu.
Wenzako wanatengeneza pesa wewe baki na mawazo yako magumu yakiafrika yasiyo na maana yoyote ulimwengu huu.
Mkuu hyo muv cjuh kwann jamaa wanaishupalia wakati ni mbaya+ mbaya+mbaya+MBAYAAkutengeneza pesa kuna uhusiano gani na ubaya wa hio movie.
Movie ni mbaya whether wametengeneza pesa or not!
We kama kwako ni nzuri basi ni wewe, ila me nimeona ni takataka na hamna kitu utanifanya.
Ndo Movie hiyoHamna movie humo...
Kuna mahala anapigana na watu takribani 50, asa movie gani hiyo.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Wabongo Sijui mnarogwa na nani asee asa kama movie ujaipenda Complain zinakuwa nying kweli embu tengeneza yako Na sis tuje tutoe commentWewe uliyeiona umetengeneza hela gani
Sasa nongwa iko wapi pale? Wewe umekuja kusema ni movie kali naye anasema ni movie mbovu, ukaanza masuala ya wao wanatengeneza hela. Wewe unayeitetea unatengeneza shilingi ngapi. Kwani lazima kila unachokubali kikubalikeWabongo Sijui mnarogwa na nani asee asa kama movie ujaipenda Complain zinakuwa nying kweli embu tengeneza yako Na sis tuje tutoe comment
Mimi nimetengeneza burudani.au wewe unataka movie ili uile au?Wewe uliyeiona umetengeneza hela gani
Punguza mawazo mgando ndugu inaonekana uko kichwani una uji badala ya ubongo.Wewe endelea na dharau za kazi za watu wakati huna chochote unachokiweza zaidi ya kunya.kutengeneza pesa kuna uhusiano gani na ubaya wa hio movie.
Movie ni mbaya whether wametengeneza pesa or not!
We kama kwako ni nzuri basi ni wewe, ila me nimeona ni takataka na hamna kitu utanifanya.