Napingana na watu wanaodai kuwa kwa muonekano wake hakufaa kuwa Mkuu wa Wilaya

Acha kujiaibisha hapa wewe,watu wanakushangaa kwa jinsi ulivyokurupuka,ujuaji mwingi hugeuka kua ujinga.
 
Kumbe wapo wapumbavu wa aina hii
 
Hata aliyepo magogoni naye hana mwonekano wa urais,ana mwonekano wa kimaskini mno,alifaa kuwa mganga wa kienyeji,ndo maana watu wanateseka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…