Napinga kutumbuliwa kwa Mrisho Gambo

Ni kweli subordinate wake walikuwa hawana maelewano Naye lakini pengine hata yeye anaweza kuwa na makandokando ambayo mamlaka ya uteuzi inayajua ambapo mimi na wewe hatuwezi yajua jiwe ain't that stupid he knows what's up.Naona kama unaegemea kwenye upande mmoja wa story
 
Alishindwa kuwawajibisha

Besides, mkulu kachelewa sana kumuondoa mrisho
 
Kaandamane
 
Ndiyo nyie amewaagiza msemee mitandaoni?
Kama unapinga mrudishe Ofisini huyo dogo Mrisho mwenye dharau nyingi, akiwa DC Korogwe alikuwa na nyido kama sistaduu, sijui ya kule Kigoma, lakini Chuga akajifanya Faru John.
Akalimee
 
Gambo tulia tu! Hasa kama unataka kuendelea kula mema ya nchi hii chini ya jpm. Huyu jamaa huwa hapendi kuwa challenged kabisa kuhusu maamuzi yake. Wewe mute tu, atakukumbuka baadae kwa mazuri yako (kama yapo, anyway!). Waulize Mwigulu, CAG (wa sasa), Simbachawene, kwa kutaja wachache.
 
Mwenye uzoefu atujuze kwa umri kama ule akitumbuliwa huwa anafanya nini hasa huko uraiani.
 
Vijana nchi hii ina fursa mbalimbali za kiuchumi msiitegemee serikali kutoa ajira kamateni fursa-Wanasiasa.

Aje mtaani akamate fursa sasa.
 
...🙄🙄🙄...
 
Huu wako nao ni uzwazwa!
 
Gambo hajajitetea bali sasa nidhamu haipo wa chini hana nidhamu kwa wa juu kisa ni mteuliwa wa mtukufu
Mbona sehemu nyingi pako hivo, piga jicho pale wizarani kuna wateuliwa wangapi wa Rais? lkn wanaheshimiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…