Sasa ukiwadharau Mzumbe, UDSM utawafanya nn? Huo ukilazaa wake unaupima kwa kauli zake za kisisasa au academically. Don't mix up things. Simtetei ila nakutahadharisha kwamba kukurupuka sio kuzuri kwa great thinker (If you are the one, anyway). Ina maana Nape hastahili kupata masters kutoka chuo chochote duniani?