MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Welcome back Mr. Kafumu pamoja na kuzuiwa kisheria kutekeleza ahadi zako, hata hivyo, kuna miaka zaidi ya miwili itakayokuweza kuifanya kazi hii.
Haki huwa haipokonyi zaidi ya kucheleweshwa.
FEEL AT HOME.
Umenifanya nicheke!. Hili nalo ni wazo zuri. Anatakiwa akajiandikishwe kwenye gym na chipsi mayai atupilie mbali.Nape fanya mazoezi, wewe ni kijana sana kubeba mifuta hiyo uliyonayo tumboni.
Siwezi kukushangaa kwa vile mawazo yako niya KIBAVICHA BAVICHA, hata kuelewa ujumbe wa kawaida napo unahitaji mwenye fikra pevu akueleweshe.
Are you thinking from the gutter?.
Ni kweli.Ni pale siasa zinapotumika kama ajira haya mambo lazima yatokee, hakuna uzalendo na utaifa nchi hii ndio maana mbunge akichaguliwa hata waandishi wanajisahau kutokana na kuzoeshwa mfano inaandikwa Mheshimiwa Zito kwenye mabano wanaweka Chadema au Mh. January (CCM), mie nadhani mbunge anapochaguliwa yule ni mwakilishi wa wananchi wa jinbo husika hata kama hukumchagua na katika utambulisho anatakiwa atambulishwe kama mbunge wa jimbo flani, issue ametokea chama gani mwananchi ndio atahoji apate ufafanuzi sio kama sasa hivi yule mbunge wa CDM au CCM as if aliteuliwa na chama kwenda kuwakilisha bungeni wakati pale ameletwa na wananchi.
Siasa bwana eti " nilitamani kulia" we kafumu weweeeee!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
You hit the nail in the head.Hongereni wana Igunga.
Sasa tumejua kwa mujibu wa mahakama ni haki kupanda jukwaani na Bunduki, ni haki kiongozi wa serikali kuahidi kujenga miundombinu kama alivyofanya Magufuli.
Risiti ya shilingi 1500 imemrudisha Kafumu bungeni hongereni sana.
Hii nchi ya ajabu na tamu kuitawala asee!!!
Haya ni mawazo yako kama yalivyo mawazo yangu. Kwa muktadha wako, ni kweli CCM haibebeki kwa sababu inao uwezo wa kutetembea bila kupata msaada wowote. Hilo la kubebeka waachie CHADEMA walioweka watu mpaka kwenye Mitandao 24/7 kama JF kukipigia chapuo ili kibebeke kwa wananchi.
Uelewa wako ni mdogo ni kwamba kafumu kunavitu ambavyo alishindwa kuvifanya kwa sababu alismamishwa kuwa mbunge.Nanukuu Baada ya mahakama kumrejeshea Ubunge mbunge wetu, CCM inaahidi kwamba ahadi zote alizotoa mbunge wenu zitatekelezwa kabla ya mwaka 2015. Na kwa kuwa Chadema walipunguza kasi kwa kusimamisha mbunge wenu baada ya kumpeleka mahakamani, CCM itaisimamia serikali ili kuhakikisha inaongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi hizo kufidia pale utekelezaji ulipokuwa umepungua kasi, alisema Nape.
Ok, kumbe jimbo likiwa na mbunge wa upinzani, wananchi wanakosa huduma muhimu ili wajutie uamuzi wao?
Sikujua kama nchi hii inaendeshwa kwa visasi.
Hivi wewe unafahamu maneno ya uchochezi?. Soma habari kwa kutumia macho mawili ukiongozwa na fikra pevu. Siyo kuja na angalizo la kitoto kama hili.
Hivyo vitu aliahidi kwa siri?Uelewa wako ni mdogo ni kwamba kafumu kunavitu ambavyo alishindwa kuvifanya kwa sababu alismamishwa kuwa mbunge.
Hivi huyu nape tabia ya kulopoka lopoka kijinga karithi kwa nani? mbona dingi ake profesa mark mwandosya hana iyo tabia ya ulopokaji?
KUHONGA?. Hivi unafahamu neno kuhonga kisheria au unataka tuliongee kwa kutumia lugha ya kwenye vijiwe vya kahawa.Chama kinapowalipa wasanii kutumbuiza kwenye mikutano yake ya kisiasa, huwezi kusema kimewahonga kwa maana nyingine haina tofauti na CHADEMA kupitisha bakuli kwenye mikutano yao kwa ajiri ya kuwataka watu walipie mafuta ya magari ya viongozi wa CHADEMA.Kuhonga ni aina ya rushwa ambayo ni kosa la jinai linalokuwa punishable by Law.Mkuu mwanadiwani ni vema ukatumia akili yako na kukubali ukweli kwamba ccm bila kuhonga bodaboda na kupeleka wasanii hakuna kitu.Ukibisha kuwa hamuwahongi bodaboda na kuwatumia wasanii kujaza watu kwenye mikutano sitaendelea kusoma coments zako coz itakuwa sawa na kumsikiliza tahira
Hahahahahah!CDM ipi JUU sana wapi humu JF au kwa wananchi? Acheni kujidanganya...mumebeba kwapani tena dk ya 5 ati tunajitoa jitoeni tu....
hahahahahahhhhh!KUHONGA?. Hivi unafahamu neno kuhonga kisheria au unataka tuliongee kwa kutumia lugha ya kwenye vijiwe vya kahawa.Chama kinapowalipa wasanii kutumbuiza kwenye mikutano yake ya kisiasa, huwezi kusema kimewahonga kwa maana nyingine haina tofauti na CHADEMA kupitisha bakuli kwenye mikutano yao kwa ajiri ya kuwataka watu walipie mafuta ya magari ya viongozi wa CHADEMA.Kuhonga ni aina ya rushwa ambayo ni kosa la jinai linalokuwa punishable by Law.
Mawazo ya ki-BAVICHA ambayo yanafaa kusemwa kwa watoto wa shule za chekechea achilia mbali kwa wanafunzi wa darala la kwanza. Bahati mbaya kwako, hatuna watoto wa chekea kwenye hili jukwaa la siasa kwa hiyo hata jibu huwezi kulipata kwa maswali yako ya chekechea.Nape ni chama gani kimeua wakristo kwenye shambulio la BOMU ARUSHA? Padre Mkenda kapigwa risasi na chama gani na padre Mushi kauawa na chama gani? Mashehe waliopigwa na kumwagiwa tindikali ni Chama gani kimewafanyia?.. Ni CCM, CDM, CUF, NCCR, UDP au TLP?