konklion
Member
- Nov 20, 2018
- 6
- 1
Poleni na majukumu ndugu zangu kama mjuavyo maradhi tumeumbiwa binadamu mwenzenu nimekuja hapa leo nahitaji msaada wenu,yaan ni hivi kama wiki mbili nyuma nilianza kuskia maumivu kwenye mkono wangu wa kushoto eneo la bega kwa ndani,nikaenda hospitali ya wilaya jirani wakanipa vidonge.
Lakini havijasaidia chochote maumivi yanazidi tu.na kadri siku zinavoenda kuna uvimbe unatokea (usio na maumivi) maeneo ya nyonga kwa juu yan eneo la mkono unaouma kwa chini yani mwanzo wa mbavu upande wa mgongoni nimerudu hospitali wamenipima tena dawa ila sioni nafuu yoyote naombeni ushauri kwa anaejua hili litakua tatizo gani msaada jamini.
Lakini havijasaidia chochote maumivi yanazidi tu.na kadri siku zinavoenda kuna uvimbe unatokea (usio na maumivi) maeneo ya nyonga kwa juu yan eneo la mkono unaouma kwa chini yani mwanzo wa mbavu upande wa mgongoni nimerudu hospitali wamenipima tena dawa ila sioni nafuu yoyote naombeni ushauri kwa anaejua hili litakua tatizo gani msaada jamini.