Naombeni ushauri

humu nitakuwa si comment kwa maana sasa unauliza kitu majibu unayo mf. Hama hapo hamia kwingine .
Akikukwepa haijalishi maana sio shida yako tatu nne mwambie ukweli kwani ukilala naye ndio utakuwa umemuongezea nini ?
 
Hahaha huyo anataka kugegedwa...wee fanya kweli
 
acha upuuzi dogo....mheshimu shemeji yako....kuwa kauzu tuu....
 
humu nitakuwa si comment kwa maana sasa unauliza kitu majibu unayo mf. Hama hapo hamia kwingine .
Akikukwepa haijalishi maana sio shida yako tatu nne mwambie ukweli kwani ukilala naye ndio utakuwa umemuongezea nini ?
Siwezi muhama mkuu, she lived in ma house!.
 
humu nitakuwa si comment kwa maana sasa unauliza kitu majibu unayo mf. Hama hapo hamia kwingine .
Akikukwepa haijalishi maana sio shida yako tatu nne mwambie ukweli kwani ukilala naye ndio utakuwa umemuongezea nini ?
Siwezi muhama mkuu, she lived in ma house!.
 
Basi umeitunga hii stori unaishi na mtu halafu mnaandikiana mesage kwa simu?
Mboka kawaida sana, alafu labda hujaelewa,hakuna sehemu niliposema nime andikiananae msj mkuu soma vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…