hii kozi inahusika na kilimo cha maua na mboga mboga wanavyodai ina uwanja mpana ktk kujiajir na pia unaweza pata ajira ktk makampun na ktk Ngo's mbalimbal
Ndugu hiyo bonge moja la coz mshikaj wangu amepiga hiyo Nit diploma alipoingia kitaa akwa anadili na folklift tu saiv kaacha nazi Ana kampuni take life goes on!kakomae tu kijana.
nina wax wax na iq yako[/QUOTE
wise men speak b'se they have something to say bt fools b'se they have to say something, and i can see u're among such fools
nina wax wax na iq yako[/QUOTE
wise men speak b'se they have something to say bt fools b'se they have to say something, and i can see u're among such fools
Usijari kijana mie nipo hapo NIT naingia mwaka wa 3 sasa hapo!!!
Ni koz nzuri kwasababu magari mengi ya sasa yanahama kutoka mechanical mpaka computerlized kwahyo gereji bubu zinatoweka taratibu kwahyo inafanya kuanzishwa kwa sekta rasmi kabisa katika eneo hili.
kwahyo kuhusu ajira sio lazima uajiliwe hapa kaka kwasababu U can alwayz build Ur name from the ground Up.
Koz hiiinahitaji sanaa utendaji zaidi ya polojo za kisiasa unapewaa tatizo rekebishaa huwezi mteja anakimbiaa iko hvyo.
Karibu Auto-Nit kaka.
Ok, ebwana kuna dogo lasi kamaliza form six kapangiwa NIT(Bachelor of automobile engineering), sasa nikiangalia mchanganuo wa ulipaji wa naona NTAs level nying mpaka ya 8, kwa kuwa una ufaham juu ya mambo hizo, huyo dogo atakuwa level gan?
Ok, ebwana kuna dogo lasi kamaliza form six kapangiwa NIT(Bachelor of automobile engineering), sasa nikiangalia mchanganuo wa ulipaji wa naona NTAs level nying mpaka ya 8, kwa kuwa una ufaham juu ya mambo hizo, huyo dogo atakuwa level gan?
Kwa Mechanical ni koz changa pale Nit haina muda sana imeanzishwa mwaka 2013 kwahyo si ya muda sana. Unajuaa kitu chochote ambacho ni mwanzo hakikosi changamoto zake..
Watu wa form 6 wanasoma miaka 4 lakini wenye diploma ndo miaka 3 mkuu!!!!!
Nlikua na mpango wa kubadil kuchukua mechanical pale nafikiri pamoja na changamoto ila kitabu knaweza kwenda vizuri kwasababu naona mech ina uwanja mpana kuliko automobile au unanshauri vp
Kwa Mechanical ni koz changa pale Nit haina muda sana imeanzishwa mwaka 2013 kwahyo si ya muda sana. Unajuaa kitu chochote ambacho ni mwanzo hakikosi changamoto zake..
Watu wa form 6 wanasoma miaka 4 lakini wenye diploma ndo miaka 3 mkuu!!!!!