masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,385
- 19,309
- Thread starter
-
- #21
Unatakiwa uende ukiwa kwenye attack au muda wowote kupata hiyo Tina,maana Kwa ninavyohisi Kesho asubuh nikachome sindano so nikisema niende aghakan baada ya sindano kitakua kimesPole sana, Pumu huwa ni ya kuwahi, nenda Agha khan nilitibiwa hapo na nikapona kabisa, watakuanzishia quick relief na badae watakupa controller medicines. Kama upo kwenye acute watakupa dawa zote kwa pamoja quick and control medics.
Utatibiwa inategemea ipo katika stage gani, utapona nenda Agha Khan mkuu.
Pia kwa faida ya wengine Pumu inayoanza tiba yake ni mazoezi aerobic hasa kukimbia usiache ikomae.
naomba mawasilianoKuna mtaalamu anaiuza yupo Msanga zalala ( kisarawe district rural) ni utomvu wa mti, unauweka kwenye majimoto yanayeyuka unakunywa. Ndani ya siku kumi na 4 unakaa sawa kabisa.
Changamoto yake ni :
Inapatikana kwa nadra sana .
Ila ukitumia unapona kabisa nina shuhuda nyingi za mtaani
Niifanye kipindi ambacho naumwa au nikiwa kawaidaJifukize majani ya mkaratusi. Chuma, chemsha, jifunikie humo na shuka kwa kama dakika 5 - 10.
Hii niliambiwa na Mzee Yakala; msukuma mmoja hapo Mwanza.
Mdogo wangu alikiwa anapata attacks sana, akajifukiza kama week 3 tu akaacha na since then (alikuwa form 2) mpaka leo hakuwahi pata attack tena.
Nilikuja kuona kitu similar kwenye series ya LOST, Kuna scene mtu kapata asthmatic attack, mtu akatafuna eucalyptus akamwekea karibu na pua na kwenye paji la uso so nikaunga dots.
I hope it helps!
Ukiwa kawaida tu.Niifanye kipindi ambacho naumwa au nikiwa kawaida
Pole sana dada, Mimi pia nilipata hiyo shida Kuna dawa nimetumia mwezi wa5 mwaka huu nimeona matokeo lakini sio ya hospitalNina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.
Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo
Masai, siku nyingine ikikushika tumia kitunguu maji kamua juice yake kunywa au kama hapo karibu kuna jani la leaf of life litafune na mwenyeezi mungu akipenda utapata nafuu, nakuombea quick recoveryNiifanye kipindi ambacho naumwa au nikiwa kawaida
Sawa nitakuuliziaNiulizie hapa hata Kuala siwez nimeegemea mto
Hii inaweza patikana kwa kweliPole sana Mkuu.
Nafahamu jinsi pumu inavyosumbua hasa wakati wa usiku?
Je unatumia dawa yoyote ya kutuliza hali hiyo ikikutokea?
Mimi sio Daktari, lakini nimeshawahi kufuatilia tiba ya asili ya kutibu tatizo hilo japokuwa sikufika hadi mwisho kwa mgonjwa husika kwa sababu sikufanikiwa kuiandaa dawa hiyo.
Propolis tincture inaweza kutibu tatizo hilo. Propolis ni gundi ya nyuki inayotumika katika mzinga kuziba na kuhakikisha unakuwa salama (gundi iliyotokana na mate ya nyuki pamoja na nta).
Propolis tincture huandaliwa kwa kuchukua kiasi kidogo cha hiyo propolis na kuchanganywa na kimiminika chochote chenye alcohol kuanzia asilimia 40 na ikishayeyuka humo unaichuja kwenye chombo kingine.
Matumizi ni unamimina matone kadhaa kwenye chai kila asubuhi na jioni na baada ya muda chini ya mwezi utayaona matokeo.
Pole sana kwa changamoto yako unaweza kwenda hospitali ukapata lkn ukiwa nyumban unaweza kuepukana na vitu vinavyopelekea ukapata izo attack mfano inaweza kuwa vumbi, maua fulani nkNina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.
Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo
Vitunguu swaumuNina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.
Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo
Vitunguu saumu,vitunguu maji na karafuu unaichemsha?Pole sana masai dada .tumia asthalin na Budesonide. Lakini pia ukitumia vitunguu maji, vitunguu saumu na karafuu husaidia sana (at least kwangu vimekuwa msaada mkubwa sana hivyo situmii dawa za hospitali mara kwa mara?).
Mie pia ilianzia ukubwani sema kwetu upande wa mama kuna historia ya pumu. Wishing you a quick recovery.
Hiyo ya chai nakunywa sana chai ila natumia iliki ngoja niongneze na tangawizi na karafuuAsthma haina complete tiba hasa ile ya kurithi
Ila nitakutumia namba ya Mzee mmoja nasikia anatengenezaga kwa kutumia wale konokono wa baharini + maji ya nazi na korokoro zingine....wengi wanasema dawa yake inasaidia sana
Ila kwasasa nakushauri kabla ya kulala usiku uwe unachemsha chai ya tangawizi kali yenye karafuu na kunywa
Kwa hali niyofikia simtumi hata kijana ningemuona nungunungu ningemkamata mwenyewe na kumchinjaKwa yeyote mwenye tatizo la pumu.
Tuma kijana akutafutie nungunungu hawa wanaotembea tembea kwenye fensi, amchinje na kumchuna ile ngozi yake yenye miiba. Ianike hiyo ngozi mpaka ikauke. Tafuta sufuria ndogo, tumia kisu kukwangua ile miiba ya nungunungu kwenye sufuria. Injika sufuria jikoni kisha anza kukaanga hiyo miiba usiweke kitu chochote endelea kukoroga mpaka miiba itaanza kuungua na kutengeneza unga mweusi.
Huo unga mweusi kila siku asubuhi na jioni chukua nusu kijiko cha chai, changanya na kijiko kimoja cha maziwa fresh kunywa.
NB: Hiyo nyama ya nungunungu chemsha supu kunywa na nyama zote kula ni tamu kuliko supu ya kuku wa kienyeji.
Umepona.
AsantePole ndito
Nishatumisha majani ya mkaratusi nitakuja na jibJifukize majani ya mkaratusi. Chuma, chemsha, jifunikie humo na shuka kwa kama dakika 5 - 10.
Hii niliambiwa na Mzee Yakala; msukuma mmoja hapo Mwanza.
Mdogo wangu alikiwa anapata attacks sana, akajifukiza kama week 3 tu akaacha na since then (alikuwa form 2) mpaka leo hakuwahi pata attack tena.
Nilikuja kuona kitu similar kwenye series ya LOST, Kuna scene mtu kapata asthmatic attack, mtu akatafuna eucalyptus akamwekea karibu na pua na kwenye paji la uso so nikaunga dots.
I hope it helps!
NavifanyajeVitunguu swaumu
Nungunungu wiki mbili zilizopita nilienda Moshi nikasogea kwa msomali kijiji kimoja kinaitwa Embokoi wapo wengi sana hasa usiku wanatembea hovyoKwa hali niyofikia simtumi hata kijana ningemuona nungunungu ningemkamata mwenyewe na kumchinja
Ila huku mjini sijawa muona
Tatizo ni baridiPole sana kwa changamoto yako unaweza kwenda hospitali ukapata lkn ukiwa nyumban unaweza kuepukana na vitu vinavyopelekea ukapata izo attack mfano inaweza kuwa vumbi, maua fulani nk