hapo wa kukaa naye na kuzungumza kwa kinagaubaga ni huyo mama wa huyo binti ili athibitisha kuwa huyo binti hakuzaa na baba yako. kwanza mumuulize kama anamfahamu bwana fulani?(yaani baba yako wewe) halafu muelezeni tena lengo lenu na hiyo hofu kuwa msije kuona mtu na dada yake, sasa hapo mumbane awahakikishie na kuthibitisha kuwa huyo binti sio wa kwake ili muendelee na mipango hiyo ya kufunga ndoa...msije ingia katika ndoa halafu kwa kuwa hamkumshirikisha huyo mama mkaja kujua ukweli kuwa huyo binti ni baba mmoja na wewe...kuwa makini sana na muombe sana Mungu wako awafanyie wepesi katika suala hili...kila la kheri Inshaallah!
Usimuoe kabisa sababu umeisha cheza naye kamchezo kabla ya ndoa.
Bora uendelee kujilia tu hapo afu tafuta mwingine wakuoa ambaye hagawi K yake kabla ya ndoa.
Sio hagawi kwako tu hata kwa wengine mana mgawa K akisha igawa K kabla ya ndoa ni hasara kubwa kwa anaye owa.
Nipo salama kabisa tunapambana
namshangaa jamaa hapo juu anaanza visingizio
Sijui huko Botswana kashaona mtu mwingine anatafuta visingizio vya kumuacha huyo dada
watu wanapenda kutafuta visivyoonekana kabisa, ona sasa umem-zoom sisimizi wee hadi umeanza kumuona tembo.
Haya ngoja akukimbize.
pole sn mkuu hapo kinachokupa tabu unahisi wewe na father mtakua mmekula poli moja hapana hizo ni hisia tu wewe muoe huyu binti na utapata upendo mkubwa kutoka kwa mama mkwe na familia kwa ujumla.
hapo wa kukaa naye na kuzungumza kwa kinagaubaga ni huyo mama wa huyo binti ili athibitisha kuwa huyo binti hakuzaa na baba yako. kwanza mumuulize kama anamfahamu bwana fulani?(yaani baba yako wewe) halafu muelezeni tena lengo lenu na hiyo hofu kuwa msije kuona mtu na dada yake, sasa hapo mumbane awahakikishie na kuthibitisha kuwa huyo binti sio wa kwake ili muendelee na mipango hiyo ya kufunga ndoa...msije ingia katika ndoa halafu kwa kuwa hamkumshirikisha huyo mama mkaja kujua ukweli kuwa huyo binti ni baba mmoja na wewe...kuwa makini sana na muombe sana Mungu wako awafanyie wepesi katika suala hili...kila la kheri Inshaallah!
hivi huyu UKI na manuu ni mtu mmoja? mbona avatar zinafanana? na nikiunga mistari napata picha tofauti sana.......mmh!
haya mimi nashauri hapa nikitoa mawazo kwamba wewe siyo manuu hivyo nashauri hivi kama nyumbani wzee wako wamekubali basi ujue huyo siyo haramu kwako.kwani hujazaliwa naye kwa mama ama baba mmoja. huyo wako waweza kumposa kabisa.
nirudi kwa wanaume na hasa wewe acheni tabia ya kuchakachua manake inakuja kuwacost watoto wenu utuuzimani. fanyeni uzinzi wenu kwa akili jamani.
mkuu kwanza mimi sio manuu kama unavyofkiria mimi nimeleta tatizo langu nipate kushauriwa, pili sijakuelewa kusema tuache tabia ya kuchakachua hapo una maana gani mkuu? hivi kweli unaweza kuoa msichana kabla hujafanya nae mapenzi kweli? sidhani kama hii bado inatokea chini ya jua mkuu navyojua siku hizi lazima uangalie ni yupi atakaekufurahisha kote kote mapenzi na tabia so lazima ufanye research kwa vitendo bila hivyo mtakuja kujuta bure na ndoa zetu za kikristo ni ngumu sana kuachana no, so naomba usinihukumu kwa hilo mkuu. asante kwa mchango wako
mimi nimekushauri vzr tukuwa huyo si dada yako ila nimemalizia ka ushauri kwa wakaka /wababa wote you incluided kwamba msichakachue matokeo yake ndo kama haya unayoyapata wewe baba kalamba mashtuzini na wewe ukapenda hapo hapo. siui naeleweka ama?
Naishi dunia hii hii tena basi mimi nilifika kabla yako....Dunia ni moja tu anaye kudanganya ziko mbili alikupoteza tu.unaishi dunia hii hii ninayoishi mimi au??
mkuu hapo nimekuelewa ila kwa upande wangu imetokea tu nilikuwa sijakusudia kuchakachua the way unavyosema. duh unajua huwa siwaambii kabisa watu wangu wa karibu story hii maana nahisi watakuwa wananitania hivyo hivyo so its my secret kabisa binti ndio kabisaa kama vile kasahau
NAITWA FRANK (sio jina halisi) nimetokea kumpenda binti Jane(sio jina halisi) tulisha do mara moja tu tukapanga kuchumbiana na tukakubaliana sasa jambo moja limejitokeza nilikuwa simjui ni mtoto wa nani ingawa kumbe mama yake ninamjua vizuri na hii kwa kutomjua mama yake ni kwa sababu alikuwa anasoma mwanza na mimi nilikuwa nafanya kazi zangu shinyanga so sikuwahi kwenda kwao pande za dar, ila dar ndiko wazazi wangu wapo na kumbe ninamjua huyo mama anapokaa dar. siku alipokuwa likizo na mimi nilienda dar na nikaenda mpka kwao dah nilipokaribia nilishtuka sana nikamuambia hapa ninapajua sana na mama huyu namjua namuita kama mama basi tukaongea kwa sana kipindi hicho mama yake hakuepo alikuwa ameenda town basi siku ikapita ikabidi suala la kuwashirikisha ndugu na jamaa kuwa mungu akijalia nitaoa kwa fulani story hii nilimueleza baba yangu wa ubatizo kwani baba yangu alifariki siku nyingi, huwezi amini mzee kwanza alianza kunipongeza kwa sana akasema umechagua penyewe alianza kutiririka kuwa huyo mama yake alikuwa ana mapenzi na baba yangu kwa sana tu (ina maana walikuwa wanado kabla hajampata mama yangu) na mimi nilikuwa sijazaliwa dah nilichoka na akasema hata huyo mama anajua hilo na ndio anakuita kama mtoto wake, nilichoka sikuvumilia nikaenda kutiririka kwa mpenzi wangu akaniambia ngoja na yeye ahakikishe hilo akamueleza mama yake kuhusu hilo mama yake alikuwa happy kwa hilo nae akamueleza kila kitu,tupo bado kwenye uchumba bahati mbaya sasa hivi nimepata kazi huku botswana mkataba miaka miwili ndio narudi now namaliza mwaka bado mwaka mmoja ndio nirudi, swali langu kwa wana JF je hapo sio kwamba namuoa dada yangu? na wazee wa waliokuwa kipindi hicho watasemaje?? naombeni mniondoe haya mawazo kwa kweli na sitaki nionekane muaribifu mtoto wa mtoto wa watu bila sababu maana ni sehemu tunayoheshimiana sana naombeni tafadhali kwa hili mnishauri niendelee au nisiendelee
unawezaje kukaa na mama mkwe uanze kumuuliza story kama hizo? na mimi nimekaa kimya kama vile sijui maana naona nikimuuliza hayo ninaweza kuonekana sina heshima na vile vile mama yangu mzazi hajui yote haya nimemficha maana anaweza kuleta pingamizi kubwa na huyo mzee nimemuambia asizisambaze habari hizi.