salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,408
- 716
hapo wa kukaa naye na kuzungumza kwa kinagaubaga ni huyo mama wa huyo binti ili athibitisha kuwa huyo binti hakuzaa na baba yako. kwanza mumuulize kama anamfahamu bwana fulani?(yaani baba yako wewe) halafu muelezeni tena lengo lenu na hiyo hofu kuwa msije kuona mtu na dada yake, sasa hapo mumbane awahakikishie na kuthibitisha kuwa huyo binti sio wa kwake ili muendelee na mipango hiyo ya kufunga ndoa...msije ingia katika ndoa halafu kwa kuwa hamkumshirikisha huyo mama mkaja kujua ukweli kuwa huyo binti ni baba mmoja na wewe...kuwa makini sana na muombe sana Mungu wako awafanyie wepesi katika suala hili...kila la kheri Inshaallah!
mhhh ukae na mama mkwe na kuanza kumuhoji hayo maswali??aisee upo serious au??samahani lakini naomba kujua umelelewa africa au ??