habari zenu wana jf,,,,,,miminasumbuliwa na mistari mwilini yani streach mark ziko kiunoni na mapajani,,,,,nimejaribu dawa za sh amor mda sana bila mafanikio zimenitokea baada ya kunenepa, ,,,,,,,,nisaidieni nipone natamani niwe kama zamani
habari zenu wana jf,,,,,,miminasumbuliwa na mistari mwilini yani streach mark ziko kiunoni na mapajani,,,,,nimejaribu dawa za sh amor mda sana bila mafanikio zimenitokea baada ya kunenepa, ,,,,,,,,nisaidieni nipone natamani niwe kama zamani