Naomba ushauri kwa wazoefu

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
750
Reaction score
367
Nimeandika hivi
kwenye CV Yangu
je! Nipo sawa?
 

Attachments

  • 1407518741981.jpg
    52.6 KB · Views: 188
Umejitahidi maelezo yako poa ila katika mpangilio ndo umekosea kidogo, kwa kawaida ni
1. Self introduction ambayo mwishoni ndo utaweka contacts zako pamoja address
2. Education back ground
3. Working experience
4. Referees

Cv ziko za muundo tofaut tofaut ila kwa level yako nadhan arrangement niliyoonyesha apo juu inatosha kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…