Leo James Mbatia aliomba bunge lisitishe shughuli zote za bunge zilizopangwa kufanyika leo ili wajadili kuibiwa kwa nyaraka za CAG ndani ya ofisi ya Spika. Lakini Spika Makinda alikataa kwa kusema kuwa jambo hilo lipo polisi tayali. Mnyika na Lissu nao walijaribu kumshawishi spika kuhusu jambo hilo, lakini spika aliendelea kuweka ngumu. Na jioni hii bungeni Werema aliomba watu wanaomchafua kwenye mitandao waache mara moja kwa maadai kuwa tusubiri report ya PAC hapo jumatano. Pia Werema alitumia fursa hiyo kumpongeza Kafulila kwa kufunga ndoa. Ndo hayo makubwa yaliyojili mkuu...Mengi zaid tusubiri Jumatano
AG Werema leo anampongeza Kafulila?!Leo James Mbatia aliomba bunge lisitishe shughuli zote za bunge zilizopangwa kufanyika leo ili wajadili kuibiwa kwa nyaraka za CAG ndani ya ofisi ya Spika. Lakini Spika Makinda alikataa kwa kusema kuwa jambo hilo lipo polisi tayali. Mnyika na Lissu nao walijaribu kumshawishi spika kuhusu jambo hilo, lakini spika aliendelea kuweka ngumu. Na jioni hii bungeni Werema aliomba watu wanaomchafua kwenye mitandao waache mara moja kwa maadai kuwa tusubiri report ya PAC hapo jumatano. Pia Werema alitumia fursa hiyo kumpongeza Kafulila kwa kufunga ndoa. Ndo hayo makubwa yaliyojili mkuu...Mengi zaid tusubiri Jumatano
Leo James Mbatia aliomba bunge lisitishe shughuli zote za bunge zilizopangwa kufanyika leo ili wajadili kuibiwa kwa nyaraka za CAG ndani ya ofisi ya Spika. Lakini Spika Makinda alikataa kwa kusema kuwa jambo hilo lipo polisi tayali. Mnyika na Lissu nao walijaribu kumshawishi spika kuhusu jambo hilo, lakini spika aliendelea kuweka ngumu. Na jioni hii bungeni Werema aliomba watu wanaomchafua kwenye mitandao waache mara moja kwa maadai kuwa tusubiri report ya PAC hapo jumatano. Pia Werema alitumia fursa hiyo kumpongeza Kafulila kwa kufunga ndoa. Ndo hayo makubwa yaliyojili mkuu...Mengi zaid tusubiri Jumatano
= tayari
= yaliyojiri
= tayari
= yaliyojiri
= tayari
= yaliyojiri
Huu si muda wa ku quote watu unless na wewe uwe ni mmoja wa wachumia tumbo mlozoea kujilimbikizia mali.Hili swala ni lazima lipate ufumbuzi kwa lugha yoyote haijarishi watu wanakosea namna ya kuandika au vipi kwetu mtu huyo hajatukosea kama mijizi inayotukosea kutuibia mabilioni,tena wewe bibi faiza foxy uvuruge huu mjadala usiuvuruge lazima watu hawa wawajibishwe hela zetu zirudishwe.wakuu endeleeni kutoa maoni yenu achaneni na hivi vizee vinavyotumiwa kumsafisha mtu alobeba fuko la m.a.V.I
Tumeacha hoja tunavamia lugha. Mtaalamu wa Kiswahili FaizaFoxy changanua sentensi hii kwa njia ya matawi "Wali wale walikula wali kwa liwali wa Liwale"
= haijalishi