Africa ni bara masikini lenyewe watu wavivu na wajinga wa mwisho, Leo hii Africa especially Tz hawapendi kusoma vitabu kabisa wao na simu kuangalia upuuzi wa kinamange kimambi tu.
Ujinga wakujifanya wanajua Kila kitu ilihali wao ni wajinga wa mambo mengi Dunia
Unaposoma vitbuunapanua akili yako hata uwezo wa kufikili pia unaongezeka Kwa mfano mtu amesoma vitabu kuhusiana na janga kubwa la Dunia hili la ushoga amesoma athari zake amejifunza hawezi kulingana na mtu ambae hajui
Kuna watu wengi vijijini hawajui hivo vitu watasaidiwa na nani ili wajue na kuelewa ili kuepukana na swala Hilo kama sio mm na wewe tulopata wasaha wakusoma vitabu
Kuna wapuuzi wengi sana Tz hii nikutokana na fikira funyuuu sana na ujinga ulipitiliza ujuaji usiokuwa na maana.
i