nina siku kama tatu hivi naenda chooni zaid ya mara sita kwasiku tumbo haliumi ila choo kina harufu mbaya sana pia nakaa zaid ya masaa sita nikibeua chakula kinakuwa bado hakuja sagika tumboni.
nina siku kama tatu hivi naenda chooni zaid ya mara sita kwasiku tumbo haliumi ila choo kina harufu mbaya sana pia nakaa zaid ya masaa sita nikibeua chakula kinakuwa bado hakuja sagika tumboni
Punguza kula nyama nyekundu kupita kiasi hizo ni ngumu kusagika. Fanya hivi usiku kula mchicha wa kutosha au hata kisamvu na chakula kingine kidogo kama wali.
nina siku kama tatu hivi naenda chooni zaid ya mara sita kwasiku tumbo haliumi ila choo kina harufu mbaya sana pia nakaa zaid ya masaa sita nikibeua chakula kinakuwa bado hakuja sagika tumboni