Salam wanabodi wa jukwaa la Teknolojia.
Tafadhali kwa mtu yoyote anaweza kujua nifanye nini ili akaunti yangu ya gmail isiniletee error niliyoitaja hapo juu.
Mpaka sasa naweza kutuma mail kama kawaida
lakini kwenye screen ya simu kuna hii kitu
ninapojiunga na internet huja
Sign in error
You entered the wrong password or your account has changed.
Please re-enter your password
Username
...............gmail.com
Password
Baada ya ujumbe huo kila ninapoweka password
inanilazimisha tu niweke password ht mara 10
huo ujumbe hauondoki ili kumaanisha
pasword iliyotakiwa nimeiweka tayari
Natumia samsung galaxy GT S6102
Mwenye kujua ufumbuzi
Natanguliza shukrani.