Naomba kuambiwa chuo hicho kipo sehemu gani na kama ikiwezekana naomba contact nimejaribu kwny internet sijapata.. pia mwenye kujua mazingira yake yapoje anijuze tafadhali,mazngira yake ya kujifunza na kujifunzia.. nimepata nafasi hapo ya diploma ya pharmacy(ordinary diploma in pharmaceotical)
Hicho chuo kipo temeke sehemu moja inatwa bandari hiki chuo zamani ilikuwa pride sasa ni chuo ila kwa mazingira ya kusomea sijui
Kinatambulika na NACTE na TCU?
Naomba kuambiwa chuo hicho kipo sehemu gani na kama ikiwezekana naomba contact nimejaribu kwny internet sijapata.. pia mwenye kujua mazingira yake yapoje anijuze tafadhali,mazngira yake ya kujifunza na kujifunzia.. nimepata nafasi hapo ya diploma ya pharmacy(ordinary diploma in pharmaceotical)
Majibu yanapatikana IMA kwenye vyuo vyao au NACTE
kitambulike na tcu kwani kinatoa shahada?
Vyuo bora vya afya kwa ngazi ya diploma na certificate ni
Kibaha,mtwara,sengerema,lugalo,mvumi,machame
Hivyo ndivyo vyuo vikubwa na bora na vikongwe lakini hivi vingine vilivyoanzishwa sasa hivi vingi ni vya uchochoroni !
ndugu vp samahani kama unaweza kunisaidia contacts za mkuu wa chuo cha city college of health and allied science nimepata nafasi hapo ya asistant c/officer,na pia nisaidie kunitumia picha zinazoonyesha mandhari ya ndani na nje,ahsante sana.Ni chuo kizuri, kina mazingira, facility, staff na utaratibu mzuri wa kutolea mafunzo ya CLINICAL MEDICINE, PHARMACEUTICAL SCIENCES na MEDICINE DISPENSING. Nimekuwa pale kwa muda sasa na sijaona tatizo. Nipo tayari kumsaidia mtu yeyote atakayehitaji msaada juu ya hili. Atakayehitaji anistue kupitia PM. SIO CHA UCHOCHORONI!
kitambulike na tcu kwani kinatoa shahada?
Vyuo bora vya afya kwa ngazi ya diploma na certificate ni
Kibaha,mtwara,sengerema,lugalo,mvumi,machame
Hivyo ndivyo vyuo vikubwa na bora na vikongwe lakini hivi vingine vilivyoanzishwa sasa hivi vingi ni vya uchochoroni !
Vyuo vya Kanjanja, unamaliza ukipele vyeti mtu anakuwa na mashaka kama una kitu kichwani.Naomba kuambiwa chuo hicho kipo sehemu gani na kama ikiwezekana naomba contact nimejaribu kwny internet sijapata.. pia mwenye kujua mazingira yake yapoje anijuze tafadhali,mazngira yake ya kujifunza na kujifunzia.. nimepata nafasi hapo ya diploma ya pharmacy(ordinary diploma in pharmaceotical)
hivi chuo kikiwa kimesajiliwa lakini NOT ACCREDITED maana yake nn?Ni chuo kizuri, kina mazingira, facility, staff na utaratibu mzuri wa kutolea mafunzo ya CLINICAL MEDICINE, PHARMACEUTICAL SCIENCES na MEDICINE DISPENSING. Nimekuwa pale kwa muda sasa na sijaona tatizo. Nipo tayari kumsaidia mtu yeyote atakayehitaji msaada juu ya hili. Atakayehitaji anistue kupitia PM. SIO CHA UCHOCHORONI!