Nanunua Gallstones

Nanunua Gallstones

presider

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
1,420
Reaction score
1,876
Ninanunua gallstones zinapatikana kwenye nyongo ya ng’ombe gram moja 50000. Robo kilo million 12.5 Nicheck Whatsapp , Call na Sms kwa No:- 0693296809
 
Ninanunua gallstones zinapatikana kwenye nyongo ya ng’ombe gram moja 50000. Robo kilo million 12.5 Nicheck Whatsapp , Call na Sms kwa No:- 0693296809
Sasa si uende vingunguti? Unajua unapotaka kutapeli watu uwe unatumia akili kidogo..
==============================
Screenshot_2019-08-30-20-17-27.png
 
Kuna harufu naihisi hapa...hata hivyo ngoja nisipate dhambi ila muda utaongea...maana isije ikawa ile habari ya kujifanya vitu fulani ni dili..halafu mtu anatangaza kununua then baadae anavikusanya anauza kwa bei kubwa..halafu mwisho wa siku kumbe havina maana yoyote!
 
Hakuna mtu atakuuzia GALLSTONES hapa....zaidi ya kukutana na Watu wanaojifanya Wajuaji ilhari hawajui chochote...
By the way price yako ipo Chini.....
Upo wapi? Unaweza kuongeza offer yako?
Unanunua kuanzia Gram ngapi?
Are you end buyer au ww ni Broker...?
 
Kuna harufu naihisi hapa...hata hivyo ngoja nisipate dhambi ila muda utaongea...maana isije ikawa ile habari ya kujifanya vitu fulani ni dili..halafu mtu anatangaza kununua then baadae anavikusanya anauza kwa bei kubwa..halafu mwisho wa siku kumbe havina maana yoyote!
Hakuna utapeli hata kidogo mkuu kwanza bei aliyotaja ni ndogo.
Zinguka machinjo yote mpaka mikoani hupati hii kitu maana kila machinjio watu wamekwisha weka order yani ni kama gemstone.
Soko lake ni china wanayatumia kwenye dawa yani yananunuliwa dunia nzima supplier mkubwa ni mexico lakini demand haijawahi toshelezwa.
Kumbuka zinaweza chinjwa ng'ombe 20 ukakuta ni wawili tu wenye gallstones napi haifiki hata gram 300.
Gallstone kwenye ng'ombe ni ugonjwa na inapatikana zaidi kwenye ng'ombe wanaoishi maeneo yenye ukame.
Japo kuna kampuni huku Canada imegundua formula ya chakula cha kuwapa ng"ombe wapate gallstones ila wachina hawazitaki maana wanasema ni natural made
 
nakumbuka hata baadhi ya binaadam wana gallstones, vimawe vinavyonasa kati ya kidney na gall bladder na kufanya mkojo upite kwa shida

nenda muhimbili kitengo cha dialysis
 
Kuna harufu naihisi hapa...hata hivyo ngoja nisipate dhambi ila muda utaongea...maana isije ikawa ile habari ya kujifanya vitu fulani ni dili..halafu mtu anatangaza kununua then baadae anavikusanya anauza kwa bei kubwa..halafu mwisho wa siku kumbe havina maana yoyote!


😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 Mkuu ulishasikiaga kisa cha biashara ya ngedere?au na wewe yalikukuta?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom