unanikumbusha time ago. nilwah kuwa nazo zote nimezirekodi kwenye kanda frm radio. tena nakumbuka ni radio 1 kipindi cha abut sadiki na show time ya RFA na kidbway na homeboy. in case ukizipata. unaukumbuka Summer party wa soggydoggy? tupa mawe za zahran na complex? Watasema wa majizee na solothang? kigetogeto original wa necha na king sopeto? vp ntapata wa Wimbi la njaa wa necha?