Ni yupi mshamba zaidi kati ya hawa wafuatao,1] alikwenda dukani kuuliza blooth,wa2 aliyeye kulahotel vyombo akaosha .wa3alinuua chostic akaitia kwenye mkoba akachukua zawadi kijijini.wa4 aliye amkaia mtu aliyeko kwenye.wa5 aliyechukua pandela barafu na kuangaliawapi lina vuja.kama hujui niambia kwa 0657949111
Ni yupi mshamba zaidi kati ya hawa wafuatao,1] alikwenda dukani kuuliza blooth,wa2 aliyeye kulahotel vyombo akaosha .wa3alinuua chostic akaitia kwenye mkoba akachukua zawadi kijijini.wa4 aliye amkaia mtu aliyeko kwenye.wa5 aliyechukua pandela barafu na kuangaliawapi lina vuja.kama hujui niambia kwa 0657949111
Mshamba ni huyu aliyetuletea mpangilio mbovu wa thread
Msameheni bure, post yenyewe ya tatu, akifikisha kumi si mtamuombea ban?
hizi ndo zilezile bangi bila mlo!
Uandishi dhaifu kabisa,
hata kiswahili sanifu,
mpanglio wa thread ndo usiseme.