Nani kama mama?

mama ni mtaalam anayeuwakilisha utaalam wa uumbaji wa mwenyeezi mangu.mungu mbariki yeyote aliye mama popote pale alipo bila kuangalia udhaifu wake mbariki kwanza kabla ya yote eee mungu.
 
Mungu uwabariki wamama wote duniani maana duh hakuna kama mama.
 
No one like mama,,....i love u so deep mama,,...!!
 
my mama is the one and only,I just cant compare her with anything
her love is unconditional!!!!
 

Linapokuja suala kuhusu wamama nakuwa na hisia kali na zenye huruma sana. No one like my mum. I love her moreeeeeeeeeee.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…