mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,019
- 1,945
Mara nyingi anayeathirika sana ni mwanamke.
Kwa mfano kama wanandoa wamepata mtoto/ watoto, na wametengana ikiwa watoto bado wadogo mara nyingi mwanamke ndiye huchukua jukumu kukaa nao.
Tukiacha shida atakayo ipata katika kuwalea watoto, pia atakuwa amepunguza uwezekano wa kuolewa tena.
Maana mwanamke mwenye mtoto/watoto hutazamwa tofauti (single mother) ukilinganisha na asiye na mtoto.
Sasa hilo ni suala kujisifu?(bandika bandua)Mawazo mfu!.sidhan kila mwanamke aloachika analazimika kuolewa! Kina dida hao wanafanyaje?bandika bandua!
Sasa hilo ni suala kujisifu?(bandika bandua)
Na wame kuwa hivyo baada ya kuachika, na hilo ni katika athari, yaani wamepoteza dira.
Au labda kama mtazamo wako kuwa ndoa haina maana.
Tena wanaUme wanaadhirika mara kumi yakeAnaweza akaathirika yeyote me ama ke
Kumbe niombe usiniacheTena wanaUme wanaadhirika mara kumi yake
Kumbe niombe usiniache
Bora hata ili nisisononekeSiwezi !naanzaje, í ½í¸
Unaweza ukawa unamhudumia mwanamke na bado akikuacha ukasononekayule ambaye ni tegemezi kwa mwenzake ndio anaathirika sana, mfano yule ambaye kipato chake kinamtegemea mwenzake au hana kipato anategemea mwenzake akipata ndo nayeye apate huyo ataathirika sana na mara nyingi inakuwaga ni wanawake sababu wengi wao ni tegemezi lakin pia inaathari kwa baadhi ya wanaume lakin sio sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa unamhudumia mwanamke na bado akikuacha ukasononeka
Ndio sababu ya kufanya kuwa nayebas ulikua tegemezi kwa kitu kingine tofauti na pesa, inawezekana ulitegemea kuwa huyo ndo anakufaa kuliko wengine au ulitegemea mtakuwa pamoja kwa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app