Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,729
- 29,261
Nimemshangaa mtoa post.. labda yamemkuta anajifariji ki styleeti hupimi kwa sababu hakuna tiba
eti DNA ya nini
Maneno ya mkosaji hayo
Lakini hapo kwenye jisnia ya mtoto.... Mhhhhh. hapo naona uko sahihi kabisa. hata Mungu hapendi