Hebu rudia kusoma ulichokiandika, halafu ukae chini ujishauri mwenyewe na limuandiko lako kama chekechea
Ila kama hawakukubali basi kuna haya labda unayo:
1-una tabia mbaya/chafu
2-Huna pesa hujitumi
3-Yaweza kuwa unajiweza kiuchumi ila kiburi.
Jirekebishe na utoto acha sasa la sivyo utakataliwa maisha, trust me