LUDOVIC k New Member Joined Oct 15, 2019 Posts 4 Reaction score 5 Oct 26, 2019 #1 Kiukweli Rais Pombe Magufuli nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahisi hasira sana sielewi ni kwa Nini?
Kiukweli Rais Pombe Magufuli nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahisi hasira sana sielewi ni kwa Nini?
B Baba N'ai Member Joined Jul 20, 2013 Posts 64 Reaction score 32 Oct 26, 2019 #2 Angaiia hasira zako usije ukaua mtu ukaishia jela.
Kawe Alumni JF-Expert Member Joined Mar 20, 2019 Posts 8,686 Reaction score 12,013 Oct 26, 2019 #3 Tunampenda sana Rais wetu mkuu Wachache wasiompenda Ni wale mafisadi na wauza madawa ya kulevya na wale wenye vyeti feki Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Magufuli
Tunampenda sana Rais wetu mkuu Wachache wasiompenda Ni wale mafisadi na wauza madawa ya kulevya na wale wenye vyeti feki Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Magufuli
M mliberali JF-Expert Member Joined Jul 13, 2012 Posts 12,344 Reaction score 15,273 Oct 26, 2019 #4 LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Asitangulie kulee..kabla ya kumwomba msamaha mh. lissu
LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Asitangulie kulee..kabla ya kumwomba msamaha mh. lissu
livafan JF-Expert Member Joined Oct 20, 2016 Posts 2,973 Reaction score 5,629 Oct 26, 2019 #5 Wachache waumie wengi wanufaike
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,364 Oct 26, 2019 #6 LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Una nyota ya mwanamke mwenye mimba!
LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Una nyota ya mwanamke mwenye mimba!
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,959 Reaction score 70,694 Oct 26, 2019 #7 Yeye anajua km unamfeel?si umfungukie tu!
Tajiri Kichwa JF-Expert Member Joined Apr 2, 2017 Posts 9,020 Reaction score 22,078 Oct 26, 2019 #8 Kumbuka aliwai kusema ata yeye anapiga deki
Alexander The Great JF-Expert Member Joined Aug 28, 2018 Posts 4,514 Reaction score 23,696 Oct 26, 2019 #9 Kama unampenda kweli hebu mtunuku meninah yako.
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,959 Reaction score 70,694 Oct 26, 2019 #10 Tajiri Kichwa said: Kumbuka aliwai kusema ata yeye anapiga deki Click to expand... Watapigana deki mwaka huu
Tajiri Kichwa said: Kumbuka aliwai kusema ata yeye anapiga deki Click to expand... Watapigana deki mwaka huu
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,783 Reaction score 40,564 Oct 26, 2019 #11 Wewe endela kumpenda MTU anaesema Lissu katekeleza jimbo ilhali yupo kwenye hali hii. Na Sie wengine acha tumbeze
Wewe endela kumpenda MTU anaesema Lissu katekeleza jimbo ilhali yupo kwenye hali hii. Na Sie wengine acha tumbeze
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,959 Reaction score 70,694 Oct 26, 2019 #12 Remote said: Wewe endela kumpenda MTU anaesema lissu katekeleza jumbo ilhali yupo kwenye hali hii. Na Sie wengine acha tumbezeView attachment 1245111 Click to expand... Huenda hujamwelewa au mm sijamwelewa..mie nimejua ni ke anampenda me kimapenzi🤦
Remote said: Wewe endela kumpenda MTU anaesema lissu katekeleza jumbo ilhali yupo kwenye hali hii. Na Sie wengine acha tumbezeView attachment 1245111 Click to expand... Huenda hujamwelewa au mm sijamwelewa..mie nimejua ni ke anampenda me kimapenzi🤦
B Bobby JF-Expert Member Joined Jan 10, 2008 Posts 2,182 Reaction score 1,897 Oct 26, 2019 #13 LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Mtu unayempenda sana hata jina lake huwezi kuliandika kwa usahihi? Hata sisi tunaomchukia tunahisi hasira sana na tunashangaa mno inakuwaje kuna watu kama wewe mnampenda mtu aliyejaa chuki kiasi kile?
LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Mtu unayempenda sana hata jina lake huwezi kuliandika kwa usahihi? Hata sisi tunaomchukia tunahisi hasira sana na tunashangaa mno inakuwaje kuna watu kama wewe mnampenda mtu aliyejaa chuki kiasi kile?
Jidu La Mabambasi JF-Expert Member Joined Oct 20, 2014 Posts 17,582 Reaction score 28,562 Oct 26, 2019 #14 LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Hujatumbuliwa bado wewe………!
LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Hujatumbuliwa bado wewe………!
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,975 Reaction score 75,059 Oct 26, 2019 #15 LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Viroba vimepigwa marufuku mwenzetu wewe unapatia wapi?
LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Viroba vimepigwa marufuku mwenzetu wewe unapatia wapi?
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 19,030 Reaction score 15,232 Oct 26, 2019 #16 LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... hasira kama hizo nao ni ukichaa, wahi 'kule dodoma'
LUDOVIC k said: Kiukweli rais pombe magufuri nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahic hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... hasira kama hizo nao ni ukichaa, wahi 'kule dodoma'
FatherOfAllSnipers JF-Expert Member Joined Mar 13, 2019 Posts 1,708 Reaction score 4,493 Oct 26, 2019 #17 manengelo said: Watapigana deki mwaka huu Click to expand... Kwanini haumpendi Jiwe?
Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,959 Reaction score 70,694 Oct 26, 2019 #18 Father of all Snipers said: Kwanini haumpendi Jiwe? Click to expand... Mbona unaniongelea mkuu!
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Oct 26, 2019 #19 LUDOVIC k said: Kiukweli Rais Pombe Magufuli nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahisi hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Kwa sababu una maslahi nae ila kwa waliopitiwa ndo hawataki kabisa kumsikia
LUDOVIC k said: Kiukweli Rais Pombe Magufuli nampenda sana hivyo ninapoona watu wana muzungumzia tofauti na mtazamo wangu nahisi hasira sana sielewi ni kwa Nini? Click to expand... Kwa sababu una maslahi nae ila kwa waliopitiwa ndo hawataki kabisa kumsikia
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,783 Reaction score 40,564 Oct 26, 2019 #20 Kweli bby manengelo said: Yeye anajua km unamfeel?si umfungukie tu! Click to expand...