mambo ya joint venture yamesanuka,hivi unanunuaje vitu na mwanaume hata kwao hupajui?
Je ukifa ghafla .mimi viotu vyangu nimemuandika baba yangu na my late mother ,unanunua vitu na mwanaume kiwanja ,nyumba ukifa ghafla anafaidi huko ndugu zako hawapati chochote...wanawake sometimes sisi mbuzi sana