We tapeli umeukimbia Ule uzi unaanzisha mwingine?Aina Za simu ni samsung, iphone,ipad,lg na washukuru kwa walionifata pm na inbox tukaelewana na mnunuzi serious namba hizo 0677177140 na ukitaka kuaminishwa ili usione unatapeliwa au kuibiwa ela yako au kuona kama vile umeingizwa mjini njoo nikuaminishe maana nimeshambuliwa kama vile mm nitapeli ila Sisi wengine ni wafanyabiashara wa mitandaon ndio maisha yetu yalipo tunakula na familia mnunuzi ambae anaweka depost ya ela aje nimuakikishie ili asione kama ameibiwa bure tukapelekana sifa mbaya Bure kwa tulio pishana kauli tusamehane maana biashara zinachangamoto kwa kweli mnunuz anaeniagiza na kuweka deposit ya pesa aje nimuakikishie ili ajue aibiwi ela ya na asanten kwa mlionifata pm na kwa simu
Siwez kukimbia maana mitandaon ndio tunapopata wateja kwa alie mnunuz nasio wakuja tubishane kuitana majina ambayo ayana maana kwa mnunuzi aje ili awee na uhakika ajue ajatapeliwa ela yake wala nn uhaminifu nikitu cha msingi sana na mm napenda kuaminiwa kiongoz na sio kuitana majina ya ajabu ya sio kuwa na maana kiongozWe tapeli umeukimbia Ule uzi unaanzisha mwingine?
Haha mkatapeli watu ooh simu ziko Zanzibar lipia tukuletee kumbe utapeliSiwez kukimbia maana mitandaon ndio tunapopata wateja kwa alie mnunuz nasio wakuja tubishane kuitana majina ambayo ayana maana kwa mnunuzi aje ili awee na uhakika ajue ajatapeliwa ela yake wala nn uhaminifu nikitu cha msingi sana na mm napenda kuaminiwa kiongoz na sio kuitana majina ya ajabu ya sio kuwa na maana kiongoz
Kaka nikweli unayo yasema nimeshaleta tokea mwaka jana na zimebak tatu tu ila mzunguko wake ndio unaonikwamisha kwenda nilizileta bila oder boss ila mkiaminiana mkaandikishana kila mahali ili iwee rais kuniamin mm sina shidaah na hata ukitaka nikuaminishe akuna shidaah ila uwee mnunuz tu na sio mtu wakuja tulumbane tu kaka anguASA si ulete kwenye begi kisha uuze kuliko kutaka kuwaibia watu,vipi nikupe hela harafu Mara ufe kwa gafla nitapataje pesa Yangu,au Mimi nikifa itakuwaje,au uibiwe hela itakuaje,mi situmi bwana
sikuamini wewe nitamuamini mwenyekiti wako wa mtaa mkuu. mbona unajifanya huelewi? haya sema uko wapi nije tufanye biasharaUsipate shidaa boss wewe ataukitaka wap ilimrad uniamini mm akuna shidaah
Wewe umesema unataka tukaandikishane pale sindio nikakuambia ainashidaah angalizo ukija uje kwa ajili ya biashara na sio kutongozana kaka angu sawaa mwingne atafunga safar uko wee baada ya biashara tuanzekutongozana wengne tunawanaume wakorofi awapendi ujinga kabsasikuamini wewe nitamuamini mwenyekiti wako wa mtaa mkuu. mbona unajifanya huelewi? haya sema uko wapi nije tufanye biashara
Heheheee mkuu kama uko vizuri nitakutongoza tu hamna namna maana mimi huwa sipitwi na watoto wazuri hivi hiviWewe umesema unataka tukaandikishane pale sindio nikakuambia ainashidaah angalizo ukija uje kwa ajili ya biashara na sio kutongozana kaka angu sawaa mwingne atafunga safar uko wee baada ya biashara tuanzekutongozana wengne tunawanaume wakorofi awapendi ujinga kabsa
Sidhani cm zimejaa madukani harafu ubaki na pesa ya mtu hadi cm ulete kutoka china au korea duh maneno mengine duh ngumu kuamini kwa nn usiuze kwa mtaji wako? Hadi upewe dipost kazi unayoAina Za simu ni samsung, iphone,ipad,lg na washukuru kwa walionifata pm na inbox tukaelewana na mnunuzi serious namba hizo 0677177140 na ukitaka kuaminishwa ili usione unatapeliwa au kuibiwa ela yako au kuona kama vile umeingizwa mjini njoo nikuaminishe maana nimeshambuliwa kama vile mm nitapeli ila Sisi wengine ni wafanyabiashara wa mitandaon ndio maisha yetu yalipo tunakula na familia mnunuzi ambae anaweka depost ya ela aje nimuakikishie ili asione kama ameibiwa bure tukapelekana sifa mbaya Bure kwa tulio pishana kauli tusamehane maana biashara zinachangamoto kwa kweli mnunuz anaeniagiza na kuweka deposit ya pesa aje nimuakikishie ili ajue aibiwi ela ya na asanten kwa mlionifata pm na kwa simu
Nimesha zileta tokea mwaka jana12 mzunguko wake unanikwamisha kwenda tena maana umalize mzigo ndio niende ndio maana nikasema kwa mnunuz ambae yuko serious anataka tufanye biashara kwa kuwa ameniamini na kunipadhamana aje nimuakikishie ili awee na aman asijue ametapeliwa au kuibiwa na awee shahd kwa wengneSidhani cm zimejaa madukani harafu ubaki na pesa ya mtu hadi cm ulete kutoka china au korea duh maneno mengine duh ngumu kuamini kwa nn usiuze kwa mtaji wako? Hadi upewe dipost kazi unayo
Kumbe we mrs sasa unakataa nn kutongozwa kama unavutia lazma utongozwe kukataa hiali yakoNimesha zileta tokea mwaka jana12 mzunguko wake unanikwamisha kwenda tena maana umalize mzigo ndio niende ndio maana nikasema kwa mnunuz ambae yuko serious anataka tufanye biashara kwa kuwa ameniamini na kunipadhamana aje nimuakikishie ili awee na aman asijue ametapeliwa au kuibiwa na awee shahd kwa wengne