natunahi u r not serious coz ni utani tu!dia amina,
ni matumaini haujambo,utakapojua hari yangu mimi mzima wa afia.
zumuNi la baRua hii ni kukueleza kwamba nakupenDa,amiNa, nimevumilia *lakini nimeshindwa,naomba nionee huruma mwEnzio usiku silali nakuwaza wewe,nikinywa maji nakuona kwenye kikomBe,shuleni nashindwa kusoma.
nakuomba usinitukane wala usimwambie mtu,kama hutaki niambieTu.
alaFu barua yamajibu weka pale kwenye kichuguu alafu fikia na michanga nitakuja kuichukua pale.
i LaVu you so macHi aminA
elia unajifanya mguuuum,wakati barua za namna hiyo umeziandika sana2,ulikua unachora moyo umechomwa mkuki alafu unabandika paspoti saizi
kudadekiiiiiiiiiHahahahahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...
JF rahaaaaaaaaaaaaaaaaa