Mpeleke veta au cbe akasomee certificate, kuna mdogo wangu alipata D mbili tena english na civics lakini nilienda pale nikaombaomba kisanii lakini akapata, alivyoanza kusoma alisoma kwa bidii sanasana akapata first class badae nikampeleka ifm kamaliza na upper second. kwa hiyo wala usikate tamaa muulize kama yuko tayari anza kama nilivyokuelekeza.
SASA ANAENDA KUMFUNDISHA NANI NA HIZO Fs?
oky mkuu ana D ya history na english...nimejaribu kukaa nae jana jioni nikamuuliza matokeo ndo hayo mabaya sasaa wewee unataka kufanya ninii namuona hadi sasaa hana jibu,hajui anataka ninii nime mpaa one week anipe jibu au nimrudishe akapumzeke kwa mamaa ake sio kwangu
kweni ww ulifaulu? ... pengine amerithi.
Mkuu mbona makosa mengi hivyo sasa nani wa kusaidiwa hapa??habari wandungu...nihivi nina mdogo wangu ninae msomesha,kaitimu form v mwaka jana,kama matokeo mlivyo ona watoto wamefail sana mwaka huu.mdogo wangu alimaliza mwaka juzi ila alipata four ya 30 kwa vile nilitaka aendelee na for v...nilimwambia arudie tena form iv yanii sasa hivi ndo mbaya zaidi kapata iv ya 33 ana D mbili tu nyingine zote F.msaada wangu nnaotaka kwenu wa kuni huu
[1]JE KUNA COLLAGE YOYOTE AMBAYO ANA WEZA KUPATA
[2]KITU GANI ANAWEZA KUSOMEA KUTOKANA NA ALAMA ALIZO PATA[NIWAKIKE]
Big NO. Kumpumzika kwa mamaake sio solution. Kumbuka tajiri mmoja kati ya mafukara wengi ni maskini wa kutupwa. Unapomsaidia saizi unaondoa mzigo wa baadae, kesho akiwa nacho mtasaidiana sio wewe utamsaidia, usipo msapoti leo hataisha kuhitaji msaada wako but ukimsaidia hata we ukikwama au yeye mnaweza azimana ila sikupeana bure dia wangu. Please just help your dogo, pengine anaogopa kusema anachotaka kwakuwa tu anaona kama ameharibu but no unaeza mshauri cha kufanya. Mpeleke hata ustawi, cbe, mzumbe pia wanapokea ctfct sikuhizi, Big time.