Naisikitikia CHADEMA!


Ukisema chadema inakufa mwaka kesho au kesho kutwa! utasubiri sana... lakini kama chadema ilikuwa inaenda speed 120km/h sasa hivi inaenda speed 60km/h na kwanza mlima ndo umeanza! sasa sijui watasawazisha huu mlima kwanza au watendelea kuupanda kwa speed 60km/h.
 

Mwenda pole hajikwai na akijikwaa haanguki mkuu. Hata kama gari yako ni nzima ukikuta kona kona lazima upunguze speed ili uende kwa uhakika.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kabla ya kuwasikitikia CHADEMA wasikitikie watanzania masikini ambao hawana maji, dawa, na shule za kuzalisha sifuri. Lakini kwa upande wa CCM wamehakikisha kwenye kampeni zao wameweka mabango yao ya gharama ya kampaini, na kugawa kofia na t shirt

Unaposoma usimeze! elewa... kusema nasikitikia chadema! ni kutokana na kwamba huu upinzani chadema ilionao unawapa viongozi waliomadarakani changamoto! ambazo kwa sisi wananchi una faida.. katika kuyapa kipao mbele maslahi yetu.

sasa huu upinzani ukiwa dhaifu, shida ipo kwetu sisi wananchi kwasababu viongozi wa kitanzania hawaendi bila kusukumwasukumwa!
 

Hayo maneno umeyatoa wap???
 
Jamani Jamani jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tuweni wakweli.
Mafanikio makubwa katika Chadema yamepatikana wakti wa uongozi wa nani???
Kuwa katika chama cha upinzani ni zaidi ya vita hasa hapa Tanzania.
Mmezungumza mengi lakini hakuna anayetaja uingiliaji wa vyombo vya dola.
Kumbukenu mfululizo wa kesi za ugaidi.
Kumbukeni Ludovick alivypenetrate system nzima ya CDM
Angalieani matamko na misimamo tofauti ya ZZK
Uhuru wa kufanya mikutano
Bomu kwenye mkutano na mpaka leo hakuna jibu
Hujuma dhidi ya CDM si dogo kama tunavyoona na kwa system hii hakuna chama cha upinzani kitakachodumu ila baada ya kupigana virungu na risasi watawala watakaa sawa ku accept oppostion kama ni njia halali ya kuleta maendeleo!!
 

Mawazo yako butu sana. Alafu sio kila story ya kijiweni unaleta hapa JF zingine achananazo hukohuko kijiweni.
Aliyeluambia ccm inaweza kuongoza nchi ni nani? Hivi kwa nini ccm munawza CHADEMA tu unazani CUF, NNCR na wengineo hawawezi kuchukua nchi. Acha kujidanganya mkuu hata hao ccm wanazima moto hawana lolote. Kuna vitu fulani huvijui kuhusu ccm siku ukijua nitakuvesha gwanda.
 


Nakubaliana na yote unayoseam lakini tukumbuke kuwa kuwa mbunge wa CDM si kwa ajili ya jimbo tu bali kwa nchi nzima.
Hebu tuangalie TL alivyotufungua macho,je ingekuwa amekaa kwao Iramba mambo yangekuwaje?
Suala la muhimu ni kuwa wananchi hawajawa tayari kwa mabadiliko na umasikini wao ndio mtaji wa wenye pesa.
kumbuka watu walioangua vilio kwa RA kuacha ubunge,poor Tanzanian!!!!
 

Hahahaaaa.. embu muangalie huyu anayesema mawazo ya kijiweni! umeongea nini hapo? "wanazima moto, kuna vitu huvijui, mnawaza chadema tuu, ntakuvesha gwanda!!!" hayo ndo maneno ya kijiweni.. mkuu! na kila kitu sio lazima uambiwe! mawazo ya kuambiwa changanya na ya kwako....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…