no lazima watanzania tuache ushabiki ! naibu spika amesha jifunza namna ya kuwavumilia walio tofauti na fikra zake. tabia mbaya ya wabunge walioonesha leo wakidhanini ushujaa binafsi inanikera .. hii ni sawa na taifa stars kufungwa bao moja wakaamua kutoka uwanjani .. iweje umlazimishe kiongozi kutoa hukumu juu ya suala fulani na hata kama angelitoa ruling yake bado mpango wa kutoka nje ungeengelea tu. huu ni ushamba wa kulazimisha hoja. wabunge wetu wanadhani kuwa mtu akiwa chama cha ccm lazima fikra na matendo yake yote yatakuwa kama ccm inavyotaka ... kutoka nje si ustaarabu nadhani hawajui kuwa kwa kufanya vile wanapoteza muda wa serikali iliyoko madarakani makusudi.. naomba kesho wabunge walio tayari waendelee !
Naibu spika sie mtu wakumlaumu kabisa yupo pale kwa maslahi ya chama sasa unataka afanye nini au unataka atolewe kam SIX alivyo kuwa fair kwa wapizani yule mzee analinda chakula yake isije kumwagika tafakari
Ndugu wana JF binafsi yangu naona uwezo wa naibu spika ni mdogo kulinganisha na majukumu yake bungeni. Achilia mbali kwa hili la leo , vikao vingi anavyoendesha hatoi maamuzi ya busara sana. Huu ni mtazamo wangu, je wana JF nini maoni yenu ?