Mr. madevu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 432
- 75
Habar za saa hiz wanajamvi. Nahitaji simu tajwa hapo juu na iwe kwenye hali nzuri.
Mi nnayo
Laki 2.5
Chukua 200
Habar za saa hiz wanajamvi. Nahitaji simu tajwa hapo juu na iwe kwenye hali nzuri.
s2 zipo kwa tshs 270 thousand...mpya na sio used na wala sio version 4.0.4 ice cream sandwhich znazotengenezwa China under license na pia na guarantee ya mwezi na kupa...
Unapatikana wapi mkuu
Mkuuu m ninayo nzuri sana bei 200..bila kupungua niende kumalizia ada ya chuo..nitafte kwa 0719098138