iyo ya kwako bei yake kiac gan!
Mkuu mi ninayo XLR 250 siitumiagi ni na muda sasa kama utahitaji tunaweza kuongea ila lazima itahitaji matengenezo kiasi mm nipo Dar ila kwa sasa nipo nje ya nchi mpaka mwezi ujao nitakuwa Tz kama utakuwa hujaipata tuwasiliane kwa no 0756386179 bei tutaelewana tujaman kwa mwenye pkpk kubwa(mfano wa xl baja) aina yoyote ya kchina anaiuza tuwacliane ninunue, ofa 1M.