ya mufindi JF-Expert Member Joined Dec 23, 2014 Posts 573 Reaction score 903 Jun 30, 2015 #1 Mwenye kuuza Noah nyeusi kuanzi mil 8 kama bei ya kuanzia seriously
M mpendachake Member Joined Feb 26, 2015 Posts 17 Reaction score 3 Jun 30, 2015 #2 Noah ya aina gain?
dovillenproperty JF-Expert Member Joined Nov 24, 2014 Posts 3,203 Reaction score 2,227 Jun 30, 2015 #3 Ya mwaka gani?
brave_3 JF-Expert Member Joined Jun 9, 2014 Posts 1,186 Reaction score 708 Jun 30, 2015 #4 mkuu ungedadavua hiyo gari iwe kwenye hali gani. maana usishangae ukaletewa gari iliyo choka
chaulah22 Member Joined Apr 30, 2015 Posts 29 Reaction score 5 Jul 2, 2015 #5 Yangu ina hali nzuri.......ni kijivu 13 miliin