Nahitaji mwanamke mwenye malengo

Wapi Miss Natafuta??fursa adhim hii
 
kijana wa ''Mulugo'' utamwona tu anavojikanyaga.....
 
hakuna mwanamke aliyezaliwa kuwa na malengo duniani wrote waliumbwa wasaidizi. yaani akikukuta unazibua vyoo malengo anaanzia hapo kinyume na hivyo useme unataka kulelewa na wanawake waliolaaniwa.
umenichekesha sana kumbe kuna walio laaniwa umewajuaje hao mkuu wakati hukumu bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…