Habari zebu
Niko kwenye mchakato wa kuanzisha biashara ya Financial Consultancy. Nahitaji kujitangaza na nimefikiria njia sahihi ni kwa kutumia teknolijia ya habari.
Naomba Kama kuna mtaalam anayeweza kunisalidia katika hili kwa mawazo na kufanya.
teknolojia namaanisha maeneo Kama website na mitandao ya kijamii.
Shukrani kwa msaada
Niko kwenye mchakato wa kuanzisha biashara ya Financial Consultancy. Nahitaji kujitangaza na nimefikiria njia sahihi ni kwa kutumia teknolijia ya habari.
Naomba Kama kuna mtaalam anayeweza kunisalidia katika hili kwa mawazo na kufanya.
teknolojia namaanisha maeneo Kama website na mitandao ya kijamii.
Shukrani kwa msaada