Nahitaji msaada kwa developer mwenye uelewa na react native na visual studio

Error unayo ipata hapo japo sioni vyema ungejaribu kutumi print screen au fn + prt sc kuleta pich ambayo tutaona vyema

Oky nitakujibu kulingana na nilivyo elewa na kuona

First thing first unatakiwa kua na android emulator ili kufanya debug ya app yako

Kama emulator ni shida bas weka sim yako kwenye usb debug mode kisha chomeka na pc

Pia unapo debug for the first time lazima utumie internet yani uwe comnected !

Jinsi ya kutemgeneza Android Emulator
Nenda youtube ka search utapata
 
Jamaa anaonekana biginner bado hajakutana na wazee konki kaka gradle ambao unapata error alaf hujui inatoka wap
 
Jamaa anaonekana biginner bado hajakutana na wazee konki kaka gradle ambao unapata error alaf hujui inatoka wap
Ni kweli me bdo ni beginner na haikupaswa kunicheka kwan hta ww czan km hukupitia km mm
 
Nashukuru sana kaka
 
nmekuelewa sana kaka nashukuru sana bro, kuna watu wengine badala ya kumjibu mtu kutokana na alivyo elewa anaanza kukejeli wakati n error za kawaida hta github na stack overflow watu wengi wana uliza, na ndo maana sisi Tanzania kwenye mambo ya tech tuna feli sana watu wanajifanya wajuaji sana halafu hakuna chochote walicho kifanya cha maana ,,una kuta mtu amesha ona huyu bdo begginer lkn ana kukejeli na kucheka?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…