Habari za leo wana JF,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka 28 hadi 34, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni mwajiriwa na mfanyabiashara, naishi Dar es Salaam na ni mkristo.
Mengine tutajuzana, kwa mawasiliano ni PM.
Asanteni[/QUOTE
Mshirikishe Mungu sana katika omni lako nadhani kupitia yeye utafanikiwa