Magoa
Member
- Mar 20, 2013
- 28
- 5
Habari zenu wanajamiiforum
Mimi nikijana wa miaka 30 naishi Dar maisha yangu ya wastani sio ya juu sana na wala sio ya chini pia elimu yangu ni ya kawaida tu
Shida iliyoniweka hapa mtandaoni ni mahusiano nahitaji mchumba na hatimae aje kuwa mke wangu wa ndoa
SIFA ZA NIMUHITAJIE
(1) Awe muislam na mwenye hofu ya mungu
(2) Awe kati ya miaka 19 - 30
(3) Awe mweupe au maji ya kunde
(4) Awe mnene wastani na sio mfupi sana
(5) Awe tayari kuishi maisha ya ndoa
Kwa msichana yoyote alie tayari basi tuwasiliane kupitia e-mails hizi saisially63@gmail.com au saidisultani@gmail.com
Wasichana kumbukeni kuwa mimi nahitaji mke na sio rafiki
ANGALIZO
Wewe msichana usikuwa tayari kwa hili tafadhali usinisumbue
Mimi nikijana wa miaka 30 naishi Dar maisha yangu ya wastani sio ya juu sana na wala sio ya chini pia elimu yangu ni ya kawaida tu
Shida iliyoniweka hapa mtandaoni ni mahusiano nahitaji mchumba na hatimae aje kuwa mke wangu wa ndoa
SIFA ZA NIMUHITAJIE
(1) Awe muislam na mwenye hofu ya mungu
(2) Awe kati ya miaka 19 - 30
(3) Awe mweupe au maji ya kunde
(4) Awe mnene wastani na sio mfupi sana
(5) Awe tayari kuishi maisha ya ndoa
Kwa msichana yoyote alie tayari basi tuwasiliane kupitia e-mails hizi saisially63@gmail.com au saidisultani@gmail.com
Wasichana kumbukeni kuwa mimi nahitaji mke na sio rafiki
ANGALIZO
Wewe msichana usikuwa tayari kwa hili tafadhali usinisumbue