Kwa jina ninaitwa BENJAMINI ELIAH ninahitaji mchumba ambaye atakuwa mke wangu sifa zake Awe mkristo, .Awe mweupe, Awe na umri kuanzia 18-25, Awe mvumilivu, urefu asizidi ft 5.2 Kwa taarifa zaidi na mawasiliano tuchat kwa Private Messages(PM)
Ondoa masharti, aje yeyote zaidi ya 18 yrs awe na tabia nzuri, dini yeyote ndoa ya serikali. Hayo masharti labda ufinyange wa kwako. Kinachohitajika ni upendo wa dhati