Nahitaji maharage

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
Haloo habari zenu wanakilimo.. Naomba kuuliza kamabkuna mkulima humu wa maharage ya njano nauliza gharama yanauzwaje
? Au aina nyingine kwa kilo.
 
Haloo habari zenu wanakilimo.. Naomba kuuliza kamabkuna mkulima humu wa maharage ya njano nauliza gharama yanauzwaje
? Au aina nyingine kwa kilo.
Ni sh 2500@kilo,je unahitaji kg ngp? Uwingi Wa hitaji bei pia inapungua maharagwe yapo yakutosha mkuu, karb
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…