N Notifier Member Joined Aug 16, 2014 Posts 91 Reaction score 12 Oct 28, 2014 #1 Mwenye line hiyo hela cash no stories!
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,467 Oct 28, 2014 #2 katika dunia hii hupati hizo line zinauzwa hadi laki 8
fasiliteta JF-Expert Member Joined Jul 2, 2014 Posts 2,598 Reaction score 4,471 Oct 28, 2014 #3 Notifier said: Mwenye line hiyo hela cash no stories! Click to expand... duuuuuuu hupati kabisaaa.hyo laki4 yenyewe unaweza zurura mwaka mzma
Notifier said: Mwenye line hiyo hela cash no stories! Click to expand... duuuuuuu hupati kabisaaa.hyo laki4 yenyewe unaweza zurura mwaka mzma
Madagiz Senior Member Joined Feb 1, 2013 Posts 185 Reaction score 56 Oct 28, 2014 #4 Laki 7 kama ipo nitafute mkuu
legend07 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 333 Reaction score 137 Oct 29, 2014 #5 Mi nakupa 400000 leta
Madagiz Senior Member Joined Feb 1, 2013 Posts 185 Reaction score 56 Oct 29, 2014 #6 legend07 said: Mi nakupa 400000 leta Click to expand... Ninazo laini 3 za uwakala wa Tigopesa,M-pesa na Airtel money,zote nataka M 1 na laki 1
legend07 said: Mi nakupa 400000 leta Click to expand... Ninazo laini 3 za uwakala wa Tigopesa,M-pesa na Airtel money,zote nataka M 1 na laki 1
F FORESTER II Member Joined Aug 21, 2012 Posts 25 Reaction score 1 Oct 29, 2014 #7 Mm ninayo ni inbox faster bei maelewano.
Home Senior Member Joined Mar 12, 2013 Posts 136 Reaction score 28 Oct 29, 2014 #8 Kama bado hujapata PM namba yako, nikupe line Sent from my iPhone using JamiiForums
legend07 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 333 Reaction score 137 Oct 29, 2014 #9 Madagiz said: Ninazo laini 3 za uwakala wa Tigopesa,M-pesa na Airtel money,zote nataka M 1 na laki 1 Click to expand... Taka tu kama utawapata wa hela hiyo
Madagiz said: Ninazo laini 3 za uwakala wa Tigopesa,M-pesa na Airtel money,zote nataka M 1 na laki 1 Click to expand... Taka tu kama utawapata wa hela hiyo