Nahitaji Laptop aina ya HP

Nahitaji Laptop aina ya HP

Chuku chuku

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
873
Reaction score
1,369
Wapi naweza kupata Laptop mpya aina ya HP yenye uwezo wa kati kwa matumizi ya kawaida na kwa bei nafuu?naomba nisaidiwe..
 
Uko wapi?? hp zipo Tshs. 750,000 mpya
na used zipo kwa 380,000 n pm
 
vipi compyuter hauitaji ipo used ram 4 gb 2 monitor flat screen inauzwa 350000/= pungufu ipo niko bunda contact 0766591260 &0682582424 au nicheki whatsap hiyo namba ya voda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom